Saturday, March 08, 2014

WOLPER ACHOMOA SKENDO YA KUTELEKEZA WAZAZI

Staa wa sinema za Kibongo , Jacqueline
Wolper amechomoa madai yaliyoibuka kuwa
hawajali wazazi wake . Baada ya taarifa hizo
za chinichini kuzagaa , Wolper aliibuka na
kuzikanusha:
“ Wazazi wangu ni matajiri kwa pesa gani
nyingi nilizonazo za uwafikia wao kiasi cha
kuwapa matunzo, bado nawategemea hivyo
wanaodai nimetelekeza wazazi ni waongo
tu.”

No comments:

Post a Comment