Thursday, January 30, 2014

UKATA WAKWAMISHA KAZI ZA DUDE

HALI ya uchumi ya mwigizaji Kulwa Kikumba
‘Dude’ imemkwamisha mwigizaji huyo
ashindwe kurekodi tamthiliya yake .

Akizungumza na paparazi wetu , Dude alikiri
kuwa uchumi umemkalia vibaya ambapo
aliruhusiwa kupewa muda wa hewani katika
Runinga ya East Africa lakini akashindwa
kushuti kutokana na majukumu ya kifamilia
kumuandama .
“ Daa we acha tu , mwezi wa kwanza huu
majanga matupu. Nimeshindwa , kama
unavyojua nina watoto wengi mambo ya
ada yamenibana kwelikweli , ” alisema Dude
ambaye ana jumla ya watoto sita kwa
mama tofauti

GP

No comments:

Post a Comment