Saturday, February 15, 2014

Stanley Msungu:waacheni watu wa comedy wafanye kazi yao

Sio kwa ugomvi ila kama kunamtu ntamkwaza
anisamehe ni mawazo na nijinsi ya kuonyesha
upendo kwenu, hivi nyinyi mnaojihisi mnauza
sana kwenye kiwanda chetu cha muv mnajua
kama mnafanya comed mkihisi watanzania
wanafrahia kumbe mnatupa shida wanaharakati
waacheni watu wa comed wafanye kazi yao, sina
maana kuwashirikisha watu wa comed ni tatizo
tatizo ni sisi tunawashirikisha alafu na sisi
tunafanya comed ok sio mbaya mtu akiamua
kufanya comed sasa mbona ubunifu kama
umewaishia hivi kila muv lazima ulazimishe
majuto awepo? Ok hayanihusu ngoja tuone
bongo muv inavyokwenda ila mm nashauli
tuendelee kuandaa mashamba tayal kwa kulima,
one luv.

Facebook

No comments:

Post a Comment