Saturday, February 15, 2014

Bond Bin Sinnan na Linex Sunday ndio mastaa wa bongo waliozaliwa siku ya Valentine

Msanii wa bongo fleva Linex Sunday na mcheza filamu za kitanzania ambae pia ni mtangazaji wa kipindi cha runinga ‘Action&cut‘Bond bin Sinnan ndio mastaa wa Tanzania waliozaliwa siku ya Valentine.

Kupitia ukurasa wake wa facebook Bond ameandika ujumbee huu kumshukuru mwenyezi mungu soma hapo chini

Asante mola ulietukuka hakika Siena cha
kukulipa kwa wema wako kwangu... Ni mengi
uliyonitendea alhamdulillah kwa kunijaalia umri
huu na baraka.. happy birthday kwangu
tena ....niongoze na uzidi Kunijaalia furaha, afya
na mafanikio huko niendako hakika we ndo kila
kitu kwangu.... pia siwezi wasahau wazazi, ndugu
zangu na marafiki zangu nashukuru kwa kuwa na
Mimi Kipindi chote....happy birthday Bond Bin
Sinnan

No comments:

Post a Comment