Monday, February 24, 2014

LULU ADAIWA KUKUWADIWA NA STEVEN NYERERE

OOHOOO! Elizabeth Michael ‘ Lulu ’ amekwaa
skendo ya kudaiwa kukuwadiwa na
mwigizaji mwenzake , Steven Mengere ‘ Steve
Nyerere’ kwa mwanaume anayedaiwa
kutoka naye kimapenzi kwa sasa anayetajwa
kwa jina moja la Johnson .

Chanzo makini kilipenyeza ‘ upupu’ huo
ambao umefafanuliwa na Steve Nyerere
kuwa ukaribu wa Lulu na bosi huyo
umetokana na kazi kwani yeye na Lulu
wameingia mkataba hivyo walitegemea
kusikia manenomaneno .
Lulu alipotafutwa kuhusiana na ishu hiyo,
alitiririka: “ Wabongo wanapenda sana
kuzusha mambo , sijawahi kuwa na
mwanaume anayeitwa Johnson zaidi ya
kuwa bosi wangu .

No comments:

Post a Comment