Tuesday, February 18, 2014

Hii ndio sababu ya Wastara kuitwa ‘Super woman‘

Mcheza filamu mwenye sifa ya kutendea haki ‘scene‘ yoyote atakayopewa kwenye ‘movie‘ Wastara Juma amesema sababu kubwa iliyopelekea aitwe super woman ni ujasili wake na kuwatia moyo watu hasa wenye matatizo

‘sababu kubwa ya kuitwa super woman ni ujasili  na kuwatia moyo watu hasa wenye matatizo‘

No comments:

Post a Comment