Sunday, December 15, 2013

Hemedy aalikwa nchini Zambia kuigiza filamu ya kumuenzi Marehem Steven Kanumba

Msanii wa filamu Hemedy Suleiman aka PHD amealikwa kufanya filamu iitwayo ‘Tangled Mess’ na mastaa wa Zambia akiwemo shiriki wa BBA 8, Sulu Banda,mwanamuziki mkongwe wa Zambia Moureen Lilanda na Dj mkongwe wa Zambia DJ Yahya Kiba kwa ajili ya kumuenzi Kanumba.

Bongo movie

No comments:

Post a Comment