Thursday, September 25, 2014

FILAMU YA MIKONO SALAMA NI HISTORIA KWA MSANII JAB

Filamu mpya ya Jacob Stephen inayoitwa Mikono Salama ni historia kwa staa huyo kwa kua ndio filamu ya mwisho ambayo amecheza na swaiba wake mkubwa Adamu Kuambiana ambaye ametangulia mbele ya haki





filmu hiyo imeingia sokoni leo na inasambazwa na kampuni kubwa kabisa ya kuzalisha filamu nchini steps entertainment,pata nakala yako sasa

No comments:

Post a Comment