
MIEZI michache baada ya kutoka
kujifungua, staa wa sinema Bongo, Riyama
Ally (pichani ) amefunguka kuwa amefurahia
kupungua unene kwa mazoezi aliyoyafanya
kwani sasa ameanza kuigiza .

Akizungumzia mikakati yake mipya, Riyama
alisema: “ Bila kupungua nisingeweza kuigiza
kama zamani , sasa nimeigiza sinema ya
Likwata .”
No comments:
Post a Comment