MKALI wa sinema za Kibongo , Jacquline
Wolper amefunguka kuwa anaogopa kuzaa
kwa sasa kwani bado hajajipanga sawasawa
Akizungumza na paparazi wetu , Wolper
alifafanua:
“ Naogopa kuharakisha kuzaa , nisije nikazaa
halafu mtoto akawa chokoraa, acha
nijipange kwanza "
No comments:
Post a Comment