Thursday, February 20, 2014

YUSTER:Mbali na filamu mimi ni mcheza ngoma za asili

Mcheza filamu za kibongo Yuster Nyakachara amesema mbali na kuandaa movie pia yeye ni mchezaji wa ngoma za asili hapa nchini

Yuster amesema anaongoza kikundi cha ngoma kinachoitwa dar creators ambacho kinatoa burudani kwenye matamasha mbali mbali nje na ndani ya bongo

Pia kikundi hicho kila ijumaa kinatoa burudani Mikocheni resort centre

No comments:

Post a Comment