Wednesday, February 05, 2014

RIYAMA:Soko la filamu ni vurugu mechi pasua kichwa kama unaroho ndogo unaweza kukata tamaa

Mcheza filamu mwenye sifa ya kuitendea haki ‘scene‘ ya kulia bongo ‘movie‘ Riyama Ally amesema soko la filamu ni vurugu mechi pasua kichwa kama unaroho ndogo unaweza kukata tamaa lakini ata pambana mpaka tone la mwisho

Akifunguka kiafrika bila ofu yoyote amesema tangu aingie kwenye sanaa amecheza filamu zaidi ya 70 lakini mafanikio yake sio makubwa kulingana na kazi anayoifanya

Amesema kinachokwamisha soko lisiwe kubwa ni ubinafsi umimi na majungu na kama watu wakiwa na umoja watafika mbali na kutambulika kimataifa

No comments:

Post a Comment