Monday, February 17, 2014

Huyu ndio Philimon Lutwaza au uncle D

Mcheza filamu za kibongo anaejizolea umaarufu siku hadi siku kutokana na kufanya vizuri kwenye filamu ya ‘After death‘ Philimon Lutwaza au Uncle D ameaidi kufanya makubwa mwaka huu

Akimwagia data muandishi wa habari hii amesema mwaka huu amejipanga vizuri na anajua utakuwa wa neema sana kwake kwakua anaamini anakipaji na yupo kwenye sanaa muda mrefu

‘Kwenye filamu ya ‘after death ya Wolper mimi nimecheza kama Uncle D yani baada ya Uncle JJ kufa mi ndio naishi na wale watoto Jenipher na Patrick

No comments:

Post a Comment