Sunday, February 02, 2014

MAINDA ATIMKIA MOROGORO

STAA wa Filamu Bongo,Ruth Suka
'Mainda',ameamua kuahamishia makazi yake mji
kasoro Bahari Morogoro kwa muda na kulipisha
jiji la Dar,ili kujipa nafasi ya kufanya kazi zake
zaidi za sanaa ya filamu na kujiepusha na
maneno ya hapo na pale kutoka kwa maadui
zake,Mainda alitimkia mji kasoro bahari na kuandika kwenye ukurasa wake wa
Instagram muda mfupi baada ya kuwasili mjini
hapo.... "Asante Mungu wangu.nimefika
salama.morogomji kasoro bahari.....Mungu

No comments:

Post a Comment