Tuesday, February 11, 2014

Kumbe Bond Bin Sinnan amezaliwa valentine day?

Muogozaji wa filamu mwenye uwezo mkubwa bongo na mtangazaji maarufu wa kipindi cha television cha action&cut Bond Bin Sinnan ameanza kupokea zawadi za sherehe ya siku yake ya kuzaliwa kupitia akaunti yake ya facebook ameandika hivi

“Bond Bin Sinnan
Soon 2 b born...zawadi jamani naanza kupokea
Leo maana tar 14 mtakuwa bizy na wachuchu na
Mimi ndo birthday yanguu.......“

Bond bin sinnan

No comments:

Post a Comment