Friday, February 07, 2014

KABUTI ONYANGO:Namshukuru sana Bond Bin Sinnan kwa kunikumbuka kwenye nominee ni kitu kikubwa kwangu

‘Camera man‘ mwenye uwezo mkubwa bongo movie Kabuti Onyango amemshukuru mcheza filamu na mtangazaji wa kipindi cha ‘action&cut‘ Bond Bin Sinnan kwa kutambua huwezo wake na kumuweka kwenye tuzo za ‘action&cut‘mwaka huu

“Namshukuru sana bond kwa kunikumbuka kwenye nominee ni kitu kikubwa kwangut Sijawahi kuingia kwenye mashindano yoyote mwaka huu ndio wa kwanza“

Kabuti ameingia kwenye kipengele cha

BEST D.O.P
Kabuti Onyango (TIKISA)
Farid Uwezo (TWISTED)
Hassan Maimbari (Mr & Mrs SAJUKI)
Rashid Mrutu ( APLE)
Timothy Conrald ( NGUVU YA IMANI)

Ili kupiga kura andika mfano

BEST D.O.P Hassani Maimbari(Mr&Mrs Sajuki) kisha tuma kwenda namba 0782 555 465

No comments:

Post a Comment