Monday, January 20, 2014

Soma alichoandika Wastara kwenye ukurasa wake wa facebook kuusiana na filamu ya Uaminifu Dhaifu

Morning...new film ya Bond bin Sinnan..Uaminifu dhaifu inatoka soon...humu ndani nimekua mpya...nimetumia uwezo mpaka wa ziada...nimevaa nguo ambazo sijawai kuvaa kwenye filamu yoyote nimecheza vipande ambavyo sijawai kucheza tena kwa kiwango kikubwa

Story inaweza kumbadili msanii na mm nimebadilika

New film#new Wastara in Uaminifu dhaifu...imeongozwa na Bond Bin Sinnan

No comments:

Post a Comment