Mmiliki wa kampuni ya Eagle Intertinment Yuster Nyakachara amesema Jackline Wolper anauwezo mkubwa wa kuingiza ndio maana ameamua kufanya nae kazi yake ya kwanza Majuto si hasira
Nyakachara amesema kwenye filamu yake yupo wolper na Slim na wengine wengi na kuongeza kuwa kwenye tasnia kuna wengi wanafanya vizuri lakini amenza na Wolper kwakua anajua anachokifanya na amevutiwa nae siku nyingi
No comments:
Post a Comment