Tuesday, December 03, 2013

WASTARA:Kwenye filamu ya Shaymaa nimbadilisha Mlela

Mcheza filamu mwenye heshima ya juu bongo movie Wastara SaJuki amesema kwenye filamu yake mpya ya Shaymaa amembadilisha muingizaji mwenzie Yusuph Mlele kwa kumpa nafasi ya kucheza kama baba wa familia.

Akipiga stori na blog hii Wastara amesema filamu nyingi Mlela amekua akicheza nafasi tofauti na za baba wa familia ndio maana akampa nafasi hiyo aoneshe uwezo wake zaidi.

“Nimembadili Mlela kacheza kama mume wangu kwenye filamu ya shaymaa“

Amesema filamu hiyo inahusu wasichana wawili waliofanana karibu kila kitu mpaka majina na inatarajia kuingia sokoni ijumaa ya.wiki hii

No comments:

Post a Comment