Thursday, December 05, 2013

Hii ndio filamu mpya ya Baby Madaha inaitwa Gal Bladder

Filamu hii inahusu kisa cha mwanadada Bahati (Baby Madaha) ambaye alipewa kazi ya ndani na bosi wake lakini boss alimgeuka na kuanza kumbaka na kumtesa bila huruma.

Baada ya mateso kuzidi aliamua kutiroka na kuanzisha kikundi chake cha kisasi kilichokuwa kwa wote wenye tabia hizo.

Ni filamu ya kipekee na ya tofauti katika soko la bongo. Inatarajiwa kutoka hivi karibuni. Hii si ya kukosa hata kidogo.

Bongo movie

No comments:

Post a Comment