Thursday, December 12, 2013

Baada ya kupokea picha nyingi za wapenzi wa filamu zake wakiwa na kasha la CD ya shaymaa iki ndio amekisema Wastara

“kila siku napokea picha kwenye akaunti yangu ya “facebook“wapenzi wa kazi zangu wananitumia wakiwa wa na kava la filamu yangu mpya inanipa faraja sana kwani muitikio wao ni mkubwa mm nawashukuru sana watanzania na watu wapenzi wote wa filamu zangu popote dunia,asante mungu“wastara juma

No comments:

Post a Comment