Ile kesi yangu na Kingwendu imekwisha na nime msamehe, kuteleza kwa binaadamu no jambo la kawaida na kizuri mtu akitambua kosa na kukiri kosa kisha kuomba msamaha basi anastahili kusamehewa bure na bila kinyongo... mtani wangu huyu Wazaramo na Wasukuma ni watani...NIMEMSAMEHE alhamdulillah
Kingwendu aliondoka kuelekea nchini Msumbiji na pesa ya awali aliyopewa na bondi kwa ajili ya kucheza filamu ya uaminifu dhaifu
No comments:
Post a Comment