Wednesday, November 20, 2013

Wastara:sijaolewa jamanii

Baada ya juzi mrembo super woman wastara kutupia picha kwenye mitandao ya kijamii akiwa na vazi la shera na kuandika neno “atimae“mashabiki walianza kuoji uenda kaolewa na amepigiwa simu nyingi kuulizwa swala ilo

Sasa hii ndio kauli yake

“Sijaolewa jamani nipo manake jana nimepigiwa simu nyingi za kuwa nimeolewa nko shooting jamani hilo ni vazi tu lov u all“

mwishoni mwa mwezi huu Wastara anatarajia kuachia filamu yake mpya inayoitwa Shaymaa aliowashirikisha wasanii Salma Nisha,Yusuph Mlela na wengine wengi

No comments:

Post a Comment