Saturday, November 16, 2013

Tatto na muonekano mpya wa Ray ndio huu

Huu  ni  muonekano  mpya wa  Vicent  Kigosi ambao ni moja ya maandalizi ya movie  yake  mpya

Kupitia akaunti yake kwenye mtandao wa kijamii Ray ameweka picha hizo na kuandika hivi

“Je nageukia bongoflava au kuna nini kinakuja?”. Aliadika  Ray  kwenye  moja  ya  picha  zake.

 
 

No comments:

Post a Comment