Friday, November 22, 2013

Soud Ally atangaza msiba wa Babu Sea

Msanii wa filamu nchini Soud Ally ameweka picha yake kwenye ukurasa wa facebook na kuandika R.l.P Babu Sea

Soma baadhi ya komenti akijibishana na wadau kuhusu taarifa hiyo

Ata hivyo badae amekanusha na kusema amedangaywa

Habari za kuaminika Babu Sea amefariki
Like · 1 hour ago
Peter Chagula

kwani mzee nguza kafa ? mbna usomeki
Like · 1 hour ago
Soud Ally

amefariki kweli bana
Like · 59 minutes ago
Peter Chagula

dar inauma sana jamani babu seya kafa inauma sana yahani we acha tu
Like · 58 minutes ago
Judith Robert

Mmh ar u serious?lin jaman
Like · 57 minutes ago
Nucresh Nicostrates

Mh! mungu wang kweli jaman au ndo uzush?!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Like · 55 minutes ago
Mary Lynn Edward

We soud punguza looh
Like · 54 minutes ago
Soud Ally

Daaaaaah nakanusha jamani nimedanganywa, hajafa

No comments:

Post a Comment