Sunday, November 24, 2013

MAJUTO yawakutanisha Salma Nisha na lrene Paul

Kwa mara ya kwanza mastaa wa wili wa filamu za kibongo Irene Paul na Salma Nisha wakutana ndani ya filamu ya Majuto.

Filamu hiyo ni ya pili kutoka kwenye kampuni ya krema inayomilikiwa na Irene na inaelezea maisha halisi ya mtanzania.

Filamu hii imetoka jana pata nakala yako huone walichokifanya mastaa hawa.

No comments:

Post a Comment