Wednesday, November 20, 2013

Linex:Mzee Majuto anakipaji sio ambacho sio cha kawaida

Msanii mwenye sauti yenye hisia za juu Linex Sunday ameonesha furaha yake baada ya kukutana na Mzee Majuto kwenye filam mpya inayoitwa Mwajuma na iki ndio ameandika kwenye ukurasa wake wa facebook

“Hii ni mwa mala ya kwanza nakutana na Mr Been wa Tz Mzee Majuto jana Location#Mwajuma nipe#Movie#Ki ukweli yule Mzee kabarikiwa kipaji ambacho sio cha kawaida some time nilikua nashindwa kuigiza nabaki nacheka tu#wetheVoa“

No comments:

Post a Comment