Tuesday, August 05, 2014

HII NDIO SABABU YA WASTARA KUITOA FILAMU YAKE YA LAST DECISION ALHAMISI YA TAREHE 14 MWEZI HUU


Mcheza filamu za kitanzania mwenye jina kubwaWastara Juma amesema filamu yake mpya aliyofanya na Hemedy anatarajia kuitoa siku ya alhamisi ya tarehe 14 mwezi huu kwakua ni mwisho wa wiki mashabiki wake wapate nafasi ya kuitafuta kwani wameisubili kwa muda mrefu sana

No comments:

Post a Comment