Friday, August 08, 2014

AISHA BUI:NILISHANGAA KUAMBIWA NILIKUA NYUMA YA NONDO NCHINI BRAZIL,WAKATI NILIKWENDA KWENYE STAREHE ZANGU







Mcheza filamu za kibongo Aisha Bui ambae anasubiliwa sokoni na filamu yake ya Mshale wa kifo akiwa na Gabo amesema ameshangaa kuona habari kuwa alikua nchini Brazil akitumikia kifungo jambo ambalo halina ukweli wowote

AISHA amesema alikua Brazil kwa mambo yake mengine ila alishangaa taarifa zilizoenea nchini kuwa yupo nyuma ya nondo kwa ishu ya madawa

"mimi nilikua Brazil kwa mambo yangu mengine sikua gerezani kama ilivyolipotiwa na sijui ilikuaje nikaandikwa vile"

Aisha Bui anatarajia kuachia filamu yake ya Mshale wa kifo hivi karibuni

No comments:

Post a Comment