Friday, August 08, 2014

AMANDA POSHY AMEVUTIWA NA ALI KIBA SOMA ALICHOKISEMA HAPA


Mcheza filamu mwenye umbo amabalo linawachanganya wanaume wengi wa kwale Amanda Poshy ameshindwa kujizui hisia zake na kujikuta akitupia ujumbe wenye maneno ya wimbo wa Ali kiba kwenye akaunti yake ya facebook ameandika

"Amesema sana mama,dunia tambara bovu...kuna asali na shubiri..ujana ,giza na nuru...(Maneno ya kiba hayo)yana maana kubwa sana ukiisikiliza nyimbo nzima ila me pamenivutia hapo tu"

No comments:

Post a Comment