Monday, August 11, 2014

ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU 3 FILAMU YA WASTARA LAST DECISION ITOKE WASTARA NA TEAM YAKE WAINGIA MTAANI KUBANDIKA MAKAVA YA FILAMU HIYO CHEKI PICHA











Mcheza filamu za kitanzania Wastara Juma amewaacha midomo wazi wafanya biashara wa soko la Tandika na madereva wa mabasi baada ya kuvamia eneo hilo akiwa na team yake nakuanza kubandika makava ya filamu yake mpya inayotoka mwishoni mwa wiki hii

Swala alilofanya ni historia kubwa na ni mara ya kwanza kwa msanii wa filamu mkubwa kama yeye kubandika makava mtaani

No comments:

Post a Comment