Friday, July 04, 2014

Wastara aisimamisha Mwanza kwa muda wengi wa mshangaa wakijua ni chizi kumbe yupo location

Mcheza filamu mwenye jina kubwa Afrika Mashariki Wastara Juma Issa amewafanya wakazi wa jiji la Mwanza kuwa na mashwali mengi kutokana na vazi alilokuwa amevaa,wengi walimuonea huruma wakijua amekuwa chizi

chanzo makini kiliokuwepo eneo hilo kimesema wakazi wengi walikua wanapita na kumuonea huruma staa huyo uku wengine wakihoji imekuaje awe vile Mwanza wakati yeye ni mkazi wa Dar es salaam
kwa upande wake Wastara amesema ni kweli tukio hilo lilitokea ata watoto wadogo walimzingira gafla lakini yeye aliishia kucheka tu,amesema hiyo ilitokana na watu kutoona kamera pale lakini badae waliondoa hofu walipoona kamera
"yani mimi nilitangulia location na nilitakiwa kucheza kama chizi sasa watu wakajua kweli lakini badae walielewa"
Wastara anatarajia kutoa filamu hiyoo mapema mwezi ujao uku akiwa na mastaa na chipukizi wengi walioonesha uwezo wa juu na amesema filamu hiyo inaitwa Last Decision

No comments:

Post a Comment