Saturday, July 05, 2014

ESHA BUHETI AAPA KIAPO CHA KIFO

MUIGIZAJI Bora wa Kike 2014 kupitia Tuzo za Zanzibar Film Festival (Ziff), Esha Buheti ameapa kuwa iwapo atakuja kujichora tatuu au kufanya mapenzi ya jinsia moja, Mungu aingamize familia yake na kizazi chake chote.
 Esha alitoa kiapo hicho juzikati alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na paparazi wetu kuhusiana na tuhuma za kudaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zilizotua kwenye dawati la Risasi Jumamosi.
“Mimi ni mtoto wa Kiislamu na nina maadili yote ya dini, siwezi kujihusisha na mapenzi ya kinyume cha maumbile, mapenzi ya jinsia moja,” alisema.

No comments:

Post a Comment