Tuesday, March 18, 2014

Wastara:sitakaa ni sahau siku aliyokufa baba wa taifa kwasababu ndio siku niliyoanza kuigiza rasmi

Mcheza filamu mwenye jina kubwa bongo Wastara Juma amesema siku aliyokufa baba wa taifa hayati mwalimu Nyerere ndio siku aliyoanza kuigiza hivyo awezi kuhisahau siku hiyo kwenye maisha.yake

Amesema mchezo wake wakwanza alicheza na mzee Majuto uliitwa utaishia kunawa na kwamba hapo ndio ikawa mwanzo wa safari yake kwenye tasnia ya filamu

“Mchezo wangu wakwanza ni utaishia kunawa niliocheza na mzee majuto na weza kusema yeye aliona uwezo wangu kwa wakati ule mpaka.sasa na muheshimu sana“

Wastara mpaka sasa anajumla ya filamu zisizopungua 20 uku filamu yake mpya ya Shaymaa ikiendelea kufanya vizuri sokoni hivi karibuni anatarajia kuachia filamu yake mpaya inayoitwa ‘Last decision‘alikwa na Hemedy Sukeiman na wasanii wengine wengi

No comments:

Post a Comment