Wednesday, March 19, 2014

WASTARA:Sijawai na sitawai kutoa rushwa ya ngono ili nicheze filamu

Mcheza filamu mwenye jina kubwa Wastara Juma amesema ajawai na hawezi kutoa rushwa ya ngono ili acheze filamu

Wastara amesema mtu kutakwa kimapenzi sehemu yoyote ya kazi siku hizi ni jambo la kawiada lakini kwa upande wake hawezi kutoa rushwa ya ngono na haitakuja kutokea

“Mimi siwezi kutoa rushwa ya ngono popote kwanza hiyo ilo wazo sina kichwani mwangu kabisa na siwezi“

Wastara amewataka mabinti wenye vipaji wasiwe na tamaa za kutaka mafanikio kwa halaka mpaka wanafikia atua ya kuuza utu wao kwa kutoa rushwa ya ngojo badala yake wajitume tu kama hipo hipo

No comments:

Post a Comment