Wastara kuwa refa kwenye ngumi kati ya Irene Uwoya na Aunt Ezekiel tarehe 29 mwezi huu CCM kirumba jijini Mwanza
Mcheza filamu mwenye jina kubwa bongo Wastara Juma anatarajia kuwa refa kwenye pambano la ngumi kati ya Irene Uwoya na Aunt Ezekiel linalofanyika mwishoni mwa mwezi huu kwenye uwanja wa CCM kirumba jijini Mwanza
No comments:
Post a Comment