Monday, January 27, 2014

STEVE:KAMA SI USANII NINGEKUWA MAHAKAMANI

MCHEKESHAJI maarufu Bongo.   Steven Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema kama
asingekuwa msanii basi angekuwa
mfanyakazi wa mahakama.

Akistorisha na paparazi wetu juzikati, Steve
Nyerere alisema kuwa kila msanii anatakiwa
kujiuliza kama siyo kazi ya usanii angekuwa
anafanya kazi gani lakini kwa upande wake
yeye angekuwa mfanyakazi wa mahakama
kwani anaipenda kazi hiyo.
“ Huwa najiuliza mara kwa mara lakini siku
zote naamini isingekuwa sanaa ningekuwa
mfanyakazi wa mahakamani , napenda
kuwapeleka watu lupango, kazi nzuri sana , ”
alisema Steve Nyerere .

GP

No comments:

Post a Comment