Monday, January 06, 2014

Filamu ya Last Decision ni nzuri sana:Bondi Bin Sinnan

Muongozaji wa filamu mwenye jina kubwa Tanzania Bond Bin Sinnan amesema filamu mpya ya Wastara Sajuki “Last Decision“ni nzuri sana kwa kua ina stori,location nzuri na wahusika wamecheza kwa kiwango cha juu

“Ni movie nzuri watu wamecheza vizuri na story ni nzuri pia locations Ni nzuri“

Filamu hiyo ameiongoza Bond mwenyewe na kuongeza kuwa kuna baadhi ya vipande vilimpa ugumu kuongoza kama kile cha Wastara kuwa kichaa na baadhi ya vipande vya wasanii chipukizi

Last Decision imechezewa mkoani Mwanza na imewashirikisha Wastara na Hemedy na wasanii wenginge wengi inatoka hivi karibuni

No comments:

Post a Comment