Msanii wa filamu nchini Wastara Sajuki amesema filamu yake mpya ya Shaymaa ni funzo kwa watanzania waliopoteza matumaini kwenye maisha
Filamu hiyo aliyowashilikisha Yusuph Mlela na Salma Jabu inahusu wasichana wawili waliofanana karibu kila kitu mpaka majina
“shaymaa maana yake ni alama na inazungumzia wasichana wawili waliofanana kila kitu mpaka majina Nisha amecheza kama Shaymaa na mimi nimecheza kama Shaymaa zaidi mtaona filamu“
Filamu ya Shaymaa inatarijia kuingia sokono tarehe sita mwezi huu na inasambazwa na steps.
No comments:
Post a Comment