Saturday, December 07, 2013

Shaymaa ya wastara yapokelewa mtaani

Baada ya muda mrefu kupita atimae filamu ya Wastara Sajuki imeingia mtaani rasmi jana

Kupitia ukurasa wake facebook ameposti picha akiwa ameashika filamu hiyo mkononi na baada ya muda mashabiki wake wakaanza kumtumia picha wakiwa wameshika filamu hiyo

Shaymaa inasambazwa na kampuni ya steps na ndani ikiwa imewashirikisha mastaa wengine kama Salm Jabu na Yusuph Mlela

No comments:

Post a Comment