Mwanadada Yuster amepanga kufanya mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya filamu kupitia kampuni yake ya Eagle intertainment
Akiongea na blog hii amesema kwakuanza anatoa filamu ya Majuto si Hasara ambayo anaamini itakua gumzo kwani amejipanga vizuri
“Filamu ya Majuto si hasara yupo wolper na slim na wengine wengi najua watanzania wataipokea na kuona kazi nzuri“
No comments:
Post a Comment