Thursday, December 26, 2013

Diamond na Wema wajiachia live

Diamond na Wema Sepetu hakuna ubishi ni wapenzi rasmi kama zamani na Peniel Mungilwa hana chake kutokana na ishara za wawili hao kuwa penzini waziwazi. Habari mpya ni kuwa show ya Diamond jana ilipambwa na Wema Sepetu jukwaani kwa kuimba pamoja huku watu wakifurahia wawili hao kuwa jukwaani wote. Angalia picha hapo chini ilivyokuwa kwa Wema na Diamond jana...........

No comments:

Post a Comment