Monday, December 09, 2013

Baada ya “hackers“kufunga akaunti ya lptysam kwenye mtandao wa kijamii wa “facebook“iki ndio ameposti Salma Jabu Nisha leo

Hellooo guyzz nina haya matatizo mawili yananisumbua kuna watu wanaitaka sana account yangu waichukue na sijui nani kawatuma na wanaghumuni gani,mara yakwanza walichugua wakawa wanapost picha za kijinga nikafanikiwa kuirudisha kuanzia jana wameanza kuichokonoa tena,guyz kwa chochote kitakachotokea naomba mkiona post za ajabu pondeni arudishe account yangu,kuna mawili kuna mtu anataka kunichafua nishuke au maana mtu na akili zako huwezi kuchukua account bila sababu za msingi...nimenfungulia Iptysam account nayo wameirepot ifungwe,nilidhani yangu tu sababu ina likes nyingi na mashabiki wengi kumbe sivyo ni kila kitu kinachonihusu nyinyi mnaonaje hapo?kila kazi ngumu ila yetu inavikwazo...ila ntapambana na dawa yangu kubwa nitafanya kazi kwa bidii hadi muombe poo labda muniibe mm.

No comments:

Post a Comment