Sunday, November 17, 2013

Wastara:Msanii lazima nibadilike

Baada ya habari kuenea kwenye mitandao kuwa msanii wa filam nchini Wastara Sajuki ameacha kujistili hii ndio kauli yake

msanii lazima nibadilike siwezi kuvaa ijabu siku zote nilichagua hii kazi nikijua mapungufu yake kifupi nitajitahid kujistili kwakua iman ya dini yangu inanitaka nifanye hivyo

Pia na iman nikijistili napendeza na kuwa na muonekano mzuri

No comments:

Post a Comment