Thursday, November 28, 2013

Soma alichoandika mwanamuziki Zola D kwenye akaunti yake ya facebook

“inshallah soon nitaanza kushot movie yangu ya kwanza ya actions inaitwa
( mr police man),ni bonge la movie mapigo ya kufa mtu na bonge la story watu wangu i qwrty hd video na sound za kisasa nipeni surport watu wangu tuonyeshe kimataifa kama tunaweza tukacheze holwood huko“

No comments:

Post a Comment