HUYU NI MTU MAARUFU SANA!!
SIELEWI KWA NINI KAAMUA
KUTUPIA PICHA KAMA HII, NI
AIBU
Ustaa kweli kazi baada ya kuona Media
zimepunguza kumuongea mrembo huyu
maarufu Hudda Monroe kutoka kenya jana
Usiku kapost picha ya tako lake akiwatakiwa
watu Good nite....MMhhh Unashangaza
jamani ...MAADILI YAKO WAPI??
No comments:
Post a Comment