Saturday, March 08, 2014

RAY‘MGONJWA WA HIP HOP

VINCENT Kigosi ‘ Ray ’ amedhihirisha kuwa
anapenda sana kusikiliza muziki wa Hip Hop
kuliko muziki mwingine.
Hivi karibuni, baada ya Ray kukiri kuwa
anaupenda muziki huo, paparazi wetu
alikaa naye kwa zaidi ya saa tano ambapo
muda wote alisikiliza muziki huo hususan
wimbo wa Gere wa Kundi la Weusi

No comments:

Post a Comment