Friday, February 28, 2014

BABY MADAHA:SHILOLE MCHEZA VIGODORO

MSANII wa muziki na filamu Bongo, Baby
Joseph ‘ Madaha ’ amemchana staa
mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole ’ kwa
kumwambia ni mcheza muziki wa uswahilini
(vigodoro) .

Kauli hiyo ya msanii huyo anayetamba na
Wimbo wa Summer Holyday , ameitoa siku
chache baada Shilole kutema cheche zake
kuwa Madaha aache kumfuatilia kwani
amekuwa akiingia kwenye anga zake mara

“ Hivi huyu ana akili au matope ,
nimfuatefuate ana nini ? Hebu aangalie
muziki wangu ninaopiga na wake . Yeye ni
wa hapa hapa, mcheza vigodoro, ”
alifunguka Madaha

No comments:

Post a Comment