Tuesday, January 28, 2014

SHIJA ATONGOZWA NA SHOGA

MSANII wa filamu za Kibongo, Deogratius
Shija hivi karibuni alijikuta katika wakati
mgumu baada ya kutongozwa na shoga .
Deogratius Shija .
Akitema mbili tatu na paparazi wetu , Shija
alisema tukio hilo lilitokea hivi karibuni
katika Ukumbi wa Traventine - Magomeni ,
Dar ambapo alitoka na kwenda msalani
akiwa hajui hili wala lile alishtuka baada ya
kumsikia mwanaume akimpapasa huku
akimwambia kuwa anampenda .
“ Nilimshtukia kumbe ni shoga . Mapenzi ya
jinsia moja ni dhambi kubwa sana kwa
Mungu , sijawahi na sitaweza kufanya
dhambi hiyo milele mimi ni Mkristo
niliyekamilika, nawashangaa wanaume
wanaofanya uchafu huo , ” alisema Shija.

GP

No comments:

Post a Comment