Saturday, January 11, 2014

“nimeamua kuwatembelea wasiojiweza na kuwapa zawadi lengo ni kuwapa furaha“Yuster Nyakachara

Mcheza filamu za kitanzania Yuster Nyakachara amewatembelea watu wasio jiweza maeneo ya Madale Kinondoni na kuwapa zawadi mbali mbali

Yuster amesema lengo la ziara hiyo ni kuwapa furaha na kuwafariji wasisione wanatengwa na amekula nao chakula cha mchana

Mbali na kula nao chakula cha mchana pia amewapa zawadi ndogo ndogo zikiwemo net ajili ya kuwakinga na maleria

No comments:

Post a Comment